Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali chini ya uongozi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ina mpango wa kujenga arena kubwa ya kisasa itakayokuwa kitovu cha matukio mbalimbali ya michezo na burudani nchini. Amesema hayo Julai 30,2026 katika tamasha la michezo "Knockout ya Mama Season 9".