• English
  • Kiswahili
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Kuundwa kwa Wizara
    • Muundo wa Wizara
    • Dira na Dhima
      • Dira
      • Dhima
    • Majukumu ya Wizara
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Habari
      • Maendeleo ya Utamaduni
      • Maendeleo ya Sanaa
      • Maendeleo ya Michezo
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Sera na Mipango
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Sheria
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
  • Machapisho
    • Sheria
  • Huduma
    • Benjamin Makapa and Uhuru stadium service
  • Sera na Sheria
  • Mashindano ya CHAN
    • Tiketi za CHAN 2024
    • Timu
    • Ratiba ya Mechi & Matokeo
    • Viwanja
    • Mwongozo wa Mshiriki
MHE. Prof. Palamagamba Kabudi
MHE. Prof. Palamagamba Kabudi
WAZIRI
MHE. Hamis Mwijuma
MHE. Hamis Mwijuma
NAIBU WAZIRI
Bw. Gerson Msigwa
Bw. Gerson Msigwa
KATIBU MKUU
Bw. Methusela Ntonda
Bw. Methusela Ntonda
NAIBU KATIBU MKUU
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Mhe. Prof. Palamagamba J.A.M. Kabudi (Mb), Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa niaba ya nchi ya Tanzania na Mhe. Ongwang Peter kwa niaba ya Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya 4 (AUSC Region 4) wakisaini mkataba wa makubaliano ya nchi mwenyeji (Host Country Agreement) ili Tanzania kuwa makao makuu ya Sektretarieti ya Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika kanda ya 4.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Naibu Katibu Mkuu, Ndg. Methusela Ntonda akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa utamaduni mara baada ya kufungua kikao cha wadau wa utamaduni wanaoshiriki kuandaa orodha ya Kitaifa ya Urithi wa Utamaduni Usioshikika, leo Agosti 19, 2025, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni hatua ya kukamilisha mchakato wa Uteuzi wa Muziki wa Singeli kwenye orodha ya kimataifa ya UNESCO.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Wataalamu wa Sekta ya Michezo katika Umoja wa Afrika Kanda ya 4, wakiwa katika siku ya pili ya mkutano wa pili wa kanda hiyo ngazi ya wataalamu, wenye lengo la kujadili maendeleo ya michezo katika ukanda huo leo Agosti 19, 2025, jijini Dar es Salaam.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akifungua Mafunzo ya Waandishi wa Habari na Utangazaji Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 leo tarehe 18 Agosti 2025 katika Ukumbi wa City Garden, jijini Mbeya.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Mhe. Hamis Mwinjuma (MB), Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Ndg. Gerson Msigwa, Katibu Mkuu wa Wizara wakishangilia ushindi wa Taifa Stars baada ya kuifungunga timu ya Madagascar kipigo cha Goli 2 - 1.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024, leo Agosti 02, 2025, ambapo Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inachuana na Burkina Faso, katika Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Mchezaji Mohamed Hussein akishangilia goli pamoja na wachezaji wenzake mara baada ya kufunga goli la pili dakika ya 74 hatimaye Tanzania kuibuka kidedea kwa kuipiga Burkina Faso kipigo cha Goli 2 - 0, yakiwa ni magoli ya kwanza katika michuano hiyo. (Goli la kwanza lilifungwa na Abdallah Sopu)
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Uwanja wa Amaan Zanzibar ni moja ya viwanja vitavyotumika kwa ajili ya mechi za CHAN 2024 ambapo mechi zote za kundi D zitafanyika hapo.
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Mh. Hamis Mwinjuma (MB), Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo azindua duka Mtandao la jezi za timu ya Taifa na kampeni ya "UTAIFA CHALLENGE"
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam utakuwa mwenyeji wa Mechi ya Ufunguzi ya CHAN 2024 tarehe 02 Agosti 2025.
Previous Next
Habari Mpya
TANZANIA YATIA SAINI MKATABA WA NCHI MWENYEJI WA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MICHEZO LA UMOJA WA AFRIK...
TANZANIA YATIA SAINI MKATABA WA NCHI MWENYEJI WA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MICHEZO LA UMOJA WA AFRIK...
Aug 20, 2025
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa makubaliano ya nchi mwenyeji na Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya 4 (AUSC Region 4) ku...
MUZIKI WA SINGELI KUINGIA KWENYE ORODHA YA URITHI WA DUNIA
MUZIKI WA SINGELI KUINGIA KWENYE ORODHA YA URITHI WA DUNIA
Aug 19, 2025
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha orodha ya Kitaifa ya Urithi wa Utamaduni Usioshikika ikiwa ni...
Mkutano wa Pili wa Baraza la Mawaziri wa michezo wa Afrika Kanda ya 4
Mkutano wa Pili wa Baraza la Mawaziri wa michezo wa Afrika Kanda ya 4
Aug 19, 2025
Wataalamu wa Sekta ya Michezo katika Umoja wa Afrika Kanda ya 4, wakiwa katika siku ya pili ya mkutano wa pili wa kanda hiyo ngazi ya wataalamu, wenye...
Tazama Zote
Matukio
Hotuba ya Mhe. Waziri Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafis...
Apr 16, 2025
JAKAYA KIKWETE CONV...
Kuimarisha uwazi, na kuhamasisha uwajibikaji.
Apr 16, 2025
Julius nyerere inte...
UTEUZI WA KAMATI YA TAIFA YA MAANDALIZI YA CHAN 2024 NA...
Apr 16, 2025
JAKAYA KIKWETE CONV...
Tazama Zote
Document icon

Nyaraka

Reader icon

JARIDA LA HEKAHEKA TOLEO MAALUM MAFANIKIO YA RAIS DKT. SAMIA KWENYE UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

16 Apr 2025

Reader icon

AFCON 2027

16 Apr 2025

Reader icon

UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

16 Apr 2025

Reader icon

Hotuba ya Mhe. Waziri Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafisa Habari Mei 2021, Mbeya

16 Apr 2025

Reader icon

UTEUZI WA KAMATI YA TAIFA YA MAANDALIZI YA CHAN 2024 NA AFCON 2027

16 Apr 2025

Reader icon

KITABU CHA MWALIMU J. K. NYERERE KUHUSU MCHANGO WAKE KATIKA UTAMADUNI, SANAA, MICHEZO NA HARAKATI ZA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA NA UKUZAJI KISWAHILI

16 Apr 2025

Reader icon

UTEUZI WA KAMATI YA TAIFA YA MAANDALIZI YA CHAN 2024 NA AFCON 2027

16 Apr 2025

Reader icon

Mwongozo wa Mshiriki

19 Aug 2025

Video

20th Aug, 2025
RAIS DKT. SAMIA AZAWADIA TAIFA STARS SHILINGI MILI...
18th Aug, 2025
TANZANIA YAONGOZA NCHI KUMI NA NNE AFRIKA KUJADILI...
10th Aug, 2025
CRDB yaunga mkono Kampeni ya kuujaza Uwanja w Benj...
02nd Aug, 2025
CHAN 2024 SINGELI FESTIVAL | Katibu Mkuu wa Wizara...

The United Republic of Tanzania.

Katibu Mkuu
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
P.O. Box 25, Dodoma, Tanzania Mji wa Serikali Mtumba

km@michezo.go.tz

Telephone: +255 26 2322 129

Nukushi: +255 26 2322 128

© 2025 WHUSM, Haki zote zimehifadhiwa. Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHUSM
Kurasa za Karibu
  • Majukumu ya Wizara
Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Ikulu
  • COSOTA
  • Idara ya Habari-MAELEZO
  • Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa)
  • Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania
  • Bodi ya Filamu Tanzania
  • Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA)