Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo kutoka kila Idara na Vitengo vya Wizara hiyo wamepatiwa Mafunzo ya uelewa wa Usalama Mtandao ni. Mafunzo hayo yametolewa Juni 05, 2026 kutoka kwa Maafisa TEHAMA wa Wizara hiyo ili kuhakikisha ufanisi na wepesi katika utekelezaji wa majukumu ya Wizara.