Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

CRDB BANK GRAND BUNGE BONANZA 2026 LAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, ameongoza matembezi ya pamoja katika CRDB Bank Grabd Bunge Bonanza ambalo limelenga  kuonesha mshikamano, kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na kuhamasisha umuhimu wa michezo kama nyenzo ya kujenga afya, umoja na ushirikiano wa kimataifa.

Bonanza hilo limefanyika leo Juni 20, 2026 jijini Dodoma ambapo limekutanisha Waheshimiwa Wabunge, Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja  wadau wa michezo.

Katika bonanza hilo linalofanyika  katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma, timu mbalimbali zinashindana katika michezo tofauti.

slot gacor