MRADI WA AKADEMIA YA MICHEZO MALYA WAFIKIA ASILIMIA 52
Ziara ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa, katika Mradi wa Ujenzi wa Akademia ya Michezo kwenye Chuo cha Michezo Malya kilichopo Wilaya ya Kwimba Mkoa wa Mwanza ambao umefikia asilimia 52.
Amefanya ziara hiyo tarehe 25 Julai, 2026.
