Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

KAIMU MTENDAJI WA COSOTA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI KATIKA MAONESHO YA SABASABA


Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya HakiMiliki Tanzania (COSOTA) ametembelea Banda la Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuona namna linavyotoa huduma na elimu kwa wananchi, katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) tarehe 11 Julai, 2026.

slot gacor