Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA HABARI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


 

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndg. Methusela Ntonda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la wizara hiyo, leo tarehe 4 Machi 2026 Mtumba jijini Dodoma.

Mkutano huo unaongozwa na kauli mbiu "Baraza Bora; Kichocheo cha Ufanisi Mahali Pa Kazi.