Habari
RIO FERDINAND AWASILI BUNGENI JIJINI DODOMA
Rio Ferdinand, Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, akiwa katika viunga vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kushuhudia shughuli za uendeshaji wa Bunge hilo, leo Mei 20, 2026 Jijini Dodoma, ikiwa ni muelendelezo wa ziara yake nchini Tanzania ambayo inalenga kuboresha sekta ya michezo pamoja kuona vivutio vya kitalii.
Amepokelewa na Mwenyeji wake Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda.
