Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

MKUTANO WA MWAKA WA WATAYARISHAJI WA VIPINDI KWA UMMA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akizunguma  na Washiriki wa Mkutano wa Watayarishaji wa Vipindi vya Elimu kwa Umma uliondaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) leo Machi 25, 2026 jijini Arusha.