Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

MKUTANO WA MWAKA WA WATAYARISHAJI WA VIPINDI KWA UMMA


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda akitoa maelezo mafupi kuhusu Mkutano wa Watayarishaji wa Vipindi vya Elimu kwa Umma uliondaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) leo Machi 25, 2026 jijini Arusha