Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI(PAC)

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikiongozwa na  Makamu Mwenyekiti  Mhe. Khalfan Hilaly Aeshi  imepokea, kupitia na kuchambua taarifa ya hesabu zilizokaguliwa za Mfuko wa Utamaduni na Sanaa (TACAF).

Kamati imefanya uchambuzi huo tarehe 7 Agosti, 2026 Bungeni jijini Dodoma.

slot gacor