Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Habari

MSIGWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA 21 CHA MAAFISA HABARI MKOANI NJOMBE


Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa, akizungumza na Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini leo Mei 07, 2026 kwenye Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa hao kinachoendelea Mkoani Njombe. nitafsirie in english

slot gacor