Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 1 la Januari, 2016. Katika kutekeleza majukumu yake kikamilifu, Wizara kimuundo imegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni :
i. Usimamizi na utekelezaji wa masuala ya kisekta
ii. Uendeshaji, uratibu na usimamizi
USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA MASUALA YA KISEKTA
Eneo hili linatekelezwa na Idara ya Idara ya Maendeleo ya Utamaduni,Idara ya Maendeleo ya Sanaa na Idara ya Maendeleo ya Michezo kwa ushirikiano na Taasisi zilizopo chini ya Idara hizo.
UENDE... ....Read More
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Palamagamba Kabudi amesema serikali inatambua... ... Read More
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. PalamagambaKabudi, amelipongeza... ... Read More
Nikiwa Msemaji wa Serikali ninalo jukumu la msingi la kuhakikisha kunakuwa na sio tu mawasiliano... ... Read More