Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 1 la Januari, 2016. Katika kutekeleza majukumu yake kikamilifu, Wizara kimuundo imegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni :
i. Usimamizi na utekelezaji wa masuala ya kisekta
ii. Uendeshaji, uratibu na usimamizi
USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA MASUALA YA KISEKTA
Eneo hili linatekelezwa na Idara ya Idara ya Maendeleo ya Utamaduni,Idara ya Maendeleo ya Sanaa na Idara ya Maendeleo ya Michezo kwa ushirikiano na Taasisi zilizopo chini ya Idara hizo.
UENDE... ....Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Shir... ... Read More
Kundi la kwanza la wachezaji wa Tanzania watakaoiwakilisha nchi katika Michezo ya Olimpiki limewa... ... Read More
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma ameuagiza Mfuko wa Utamaduni na... ... Read More