News

MAKATIBU WAKUU WA MICHEZO TANZANIA, KENYA NA UGANDA WAJADILI MAANDALIZI AFCON 2027
Timu ya Wataalamu wakiongozwa na Makatibu Wakuu wa michezo kutoka Tanzania, Kenya na Uganda ambazo kwa pamoja zinaomba kuwa wenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa (AFCON 2027) kupitia maombi ya EA Pamoja Bid.... Read More
Posted On: Sep 22, 2023

DKT. NDUMBARO AIAGIZA MIKOA KUJIANDAA VYEMA MASHINDANO YA SAMIA TAIFA CUP
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameiagiza Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kujiandaa vyema kwa ajili ya mashindano ya Samia Taifa Cup ambayo yatafanyika mwishoni mwa mwaka huu.... Read More
Posted On: Sep 22, 2023

DKT. NDUMBARO ASISITIZA WADAU KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUENDELEZA MICHEZO NCHINI
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Septemba 20, 2023 Jijini Dar es Salaam amekutana na viongozi wa timu ya Simba ambapo wamejadili masuala mbalimbali yakiwemo maendeleo ya michezo nchini.... Read More
Posted On: Sep 22, 2023

UKARABATI UWANJA WA BENJAMIN MKAPA WAPAMBA MOTO
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amefanya ziara Uwanja wa Benjamin Mkapa hivi Septemba 17, 2023 jijini Dar es salaam kujionea ukarabati wa uwanja huo ambao utatumika kwenye ufunguzi wa michuano ya African Football League Oktoba 20, 2023.... Read More
Posted On: Sep 17, 2023

MAKAMPUNI JITOKEZENI KUFADHILI VILABU VYA SOKA NCHINI
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu ametoa wito kwa makampuni mbalimbali ndani na nje ya Tanzania kujitokeza kudhadhili vilabu vya soka na michezo mbalimbali nchini ili ziwe na ushindani katika medani za kitaifa na kimataifa.... Read More
Posted On: Sep 17, 2023

BASATA VIBES KUTIKISA MIKOA YOTE NCHINI
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lihakikishe kuwa Mradi wa Baraza hilo ujulikanao kama BASATA Vibes unawafikia Wasanii mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar ili azma ya Serikali ya kukuza sanaa nchini itimie.... Read More
Posted On: Sep 14, 2023