News

SERIKALI YATOA WITO VYAMA NA MASHIRIKISHO YA MICHEZO KUIGA KWA TFF

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuendelea kufanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya michezo hapa nchini akitoa wito kwa vyama na mashirikisho mengine vijifunze kwa TFF... Read More

Posted On: Jul 26, 2024

KUNDI LA KWANZA LINALOIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA OLIMPIKI LAWASILI SALAMA PARIS

Kundi la kwanza la wachezaji wa Tanzania watakaoiwakilisha nchi katika Michezo ya Olimpiki limewasili salama asubuhi ya Julai 24, 2024 jijini Paris nchini Ufaransa... Read More

Posted On: Jul 25, 2024

MHE. MWINJUMA AAGIZA MFUKO WA UTAMADUNI NA SANAA TANZANIA UKUTANE NA WASANII

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma ameuagiza Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania ukutane na kuzungumza na baadhi ya wasanii waliokopa fedha awali kupitia mfuko huo na kushindwa kurejesha kwa wakati kabla ya kuanzishwa kwa utararibu mpya wa kutumia benki... Read More

Posted On: Jul 24, 2024

NBC DODOMA MARATHON KUVUNA VIPAJI VIPYA MCHEZO WA RIADHA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mbio za NBC Dodoma Marathon zitatumika kuvuna wanariadha wengi zaidi... Read More

Posted On: Jul 22, 2024

MSIGWA AKAGUA MAENDELEO YA JENGO LA WIZARA

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa ametembelea na kukagua ujenzi wa jengo jipya la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo katika Mji wa Serikali Mtumba... Read More

Posted On: Jul 22, 2024

DKT. SERERA AKABIDHI BENDERA TIMU ZA OLIMPIKI PARIS 2024

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Suleiman Serera amekabidhi Bendera ya taifa, vifaa vya michezo na gharama za kujikimu kwa wachezaji wa timu ya Taifa inayokwenda Jijini Paris nchini Ufaransa... Read More

Posted On: Jul 22, 2024