News

SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA SEKTA YA HABARI KUKUZA MAENDELEO

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Palamagamba Kabudi amesema serikali inatambua mchango mkubwa wa wadau wa sekta ya habari katika kukuza maendeleo ya taifa, kuimarisha uwazi, na kuhamasisha uwajibikaji.... Read More

Posted On: Dec 23, 2024

WAZIRI KABUDI APONGEZA UUNGANISHAJI MFUMO WA AMIS NA TAUSI KWA MAENDELEO YA SANAA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amelipongeza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa hatua ya kuunganisha Mfumo wa wadau wa Sanaa (AMIS) na Mfumo wa TAUSI na kiagiza kuwa Mfumo huo uzinduliwe na kuanza kazi mara moja.... Read More

Posted On: Dec 23, 2024

TAARIFA YA MASUALA MBALIMBALI YALIYOTEKELEZWA NA SERIKALI

YALIYOJIRI DESEMBA 19, 2024 JIJINI DAR ES SALAAM WAKATI KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO NA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI, GERSON MSIGWA AKITOA TAARIFA YA MASUALA MBALIMBALI YALIYOTEKELEZWA NA SERIKALI... Read More

Posted On: Dec 23, 2024

UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 16

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya Fainali za AFCON 2027 unaendelea vizuri licha ya mvua kubwa zinazonyesha na sasa umefikia 16% za ujenzi.... Read More

Posted On: Dec 23, 2024

SERIKALI YAITAKA TFF NA WADAU KUIANDAA TAIFA STARS IWEZE KUVUNJA REKODI CHAN NA AFCON

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Mhe Hamis Mwinjuma amesema Serikali kwa kushirikiana na wadau imedhamiria kuiandaa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) ili kuvunja rekodi ya kutokuvuka hatua ya awali kwenye mashindano ambayo Tanzania ni mwenyeji ikishirikiana na Kenya na Uganda.... Read More

Posted On: Dec 23, 2024

CAF YAKOSHWA NA MAANDALIZI YA CHAN NCHINI

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema amekoshwa na maandalizi ya miundombinu ya viwanja ikiwemo Benjamin Mkapa kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).... Read More

Posted On: Dec 23, 2024